Misingi Ya BIBLIA
Somo La 8: Asili ya Yesu
Dibaji | Tofauti zilizopo kati ya Mungu na Yesu | Asili Ya Yesu | Ubinadamu Wa Yesu | Uhusiano Wa Mungu Na Yesu | Tumeacha Kitambo sehemu ya ("Akiwa Yuna na namna ya Mungu") | Maswali

Somo La 8: Maswali

Isimu:
email (required):
  1. Je! Biblia inafundisha kwamba Mungu ni utatu pamoja?
    Eewaa
    La

  2. Orodhesha tofauti tatu kati ya Mungu na Yesu.

  3. Ni kwa njia zipi zifuatazo Yesu alikuwa tofauti nasi?
    Kamwe hakutenda dhambi
    Alikuwa ni mwana pekee wa Mungu
    Hakuweza kamwe kutenda dhambi
    Alilazimishwa na Mungu kuwa mwenye haki

  4. Ni kwa nji zipi zifuatazo Yesu alikuwa pamoja na Mungu
    Alikuwa na asili ya Mungu wakati wa maisha yake duniani
    Alikuwa na tabia timilifu kama ya Mungu
    Alijua sana kama Mungu
    Alikuwa moja kwa moja sawa na Mungu

  5. Ni kwa njia zipi zifuatazo Yesu alikuwa kama sisi?
    Alikuwa na majaribu yetu yote na yapatikanayo na wanadamu
    Alitenda dhambi wakati akiwa kijana
    Alihitaji wokovu.
    Alikuwa na asili ya mwanadamu.

  6. Ni taarifa zipi zifuatazo ni za kweli?
    Yesu alikuwa mwili mkamilifu na tabia kamilifu
    Yesu alikuwa na mwili wa dhambi lakini tabia kamilifu.
    Pande mbili Yesu alikuwa Mungu kabisa na Mwanadamu kabisa
    Yesu alikuwa na asili ya Adamu kabla ya kutenda dhambi

  7. Je; Yesu alikuwa na uwezekano wa kutenda dhambi?
    Eewaa
    La


  Back
Home
Next